Click here to watch this video
Saturday, July 1, 2017
Friday, June 9, 2017
Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha Tano Mwaka 2017
Thursday, June 8, 2017
*BREAKING NEWS.*
Basi la kampuni ya *Coastline* lililokuwa linatoka *Mwanza kuja Moshi via Arusha* limepata ajali mbaya maeneo ya *King'ori- Kiwandani* mida hii ya saa mbili usiku. Idadi ya majeruhi ni kubwa na vifo wachache. Kama una ndugu aliyekuwa route hiyo leo jaribu kuwasiliana naye.
Vilevile kuna abiria waliokuwa wamefaulishwa kutoka kwenye mabasi mengine .
Basi la kampuni ya *Coastline* lililokuwa linatoka *Mwanza kuja Moshi via Arusha* limepata ajali mbaya maeneo ya *King'ori- Kiwandani* mida hii ya saa mbili usiku. Idadi ya majeruhi ni kubwa na vifo wachache. Kama una ndugu aliyekuwa route hiyo leo jaribu kuwasiliana naye.
Vilevile kuna abiria waliokuwa wamefaulishwa kutoka kwenye mabasi mengine .
Tuesday, May 30, 2017
Saturday, May 20, 2017
SPECIAL WEEKEND
*RATIBA, MISIMAMO, WAFUNGAJI LIGI MBALIMBALI LEO JUMAMOSI MAY 20*
*TANZANIA -Vodacom Premier League*
Ratiba(J1)-May 20
16:00 Mbao Fc vs Yanga Sc
16:00 Simba Sc vs Mwadui Fc
16:00 Azam Fc vs Kagera Sugar
16:00 Majimaji vs Mbeya City
16:00 Stand United vs Ruvu Shooting
16:00 Tz Prison vs African Lyon
16:00 Mtibwa Sugar vs Toto African
16:00 Ndanda Fc vs JKT Ruvu
Msimamo
P-GD-PTS
1-Yanga 29 44 68
2-Simba 29 32 65
3-Azam 29 17 52
4-Kagera 29 6 50
5-Mtibwa 29 0 41
6-Ruvu 29 -4 36
7-Stand 29 -2 35
8-Mwadui 29 -12 35
9-Prison 29 -7 34
10-Mbeya 29 -4 33
11-Majimaji 29 -13 32
12-Lyon 29 -9 31
13-Mbao 29 -9 30
14-Ndanda 29 -17 30
15-Toto 29 -10 29
16-JKT 29 -12 23
-Ubingwa asilimia 99 unaenda Kwa Yanga, Simba wanaweza kuchukua ubingwa iwapo yanga atapoteza mechi ya leo dhidi ya Mbao na Simba washinde Kwa mabao Mengi zaidi ya kumi na tatu.
-kwenye kushuka daraja Tayari JKT Ruvu ameshashuka tayari Bado wawili kati ya timu tano (Majimaji, Lyon, Mbao, Ndanda na toto) mbichi na mbivu kujulikana Leo sa 10:00
Wafungaji VPL
1-Saimon Msuva (Yanga) -14
2-Abdulrahman Mussa (Ruvu) -13
3-Mbaraka Yusuph (kagera) -12
-Obrey Chirwa (Yanga) -12
4-Shiza Kichuya (Simba) -11
-Amis Tambwe (Yanga) -11
5-John Boko (Azam) -9
-Kelvin Sabato (Majimaji) -9
*ENGLAND -Premier League*
Ratiba(J2)-May 21
17:00 Arsenal vs Evarton
17:00 Bunley vs West Ham
17:00 Chelsea vs Sunderland
17:00 Hull City vs Tottenham
17:00 Leicester City vs Bournemouth
17:00 Liverpool vs Middlesbrough.
17:00 Man United vs Crystal Palace
17:00 Southampton vs Stoke City
17:00 Swansea vs West Bromwich
17:00 Watford vs Manchester City
Msimamo EPL
P--GD--Pts
1-Chelsea 37 48 90
2-Tottenham 37 54 83
3-Man City 37 36 75
4-Liverpool 37 33 73
5-Arsenal 37 31 72
6-Man United 37 23 66
7-Evarton 37 20 61
-Tayari Chelsea mabingwa wa Premier League msimu Huu na pia Sunderland, Middlesbrough, na Hull City zimeshuka daraja.
-Vita iliyobaki na ambayo inasubiliwa Kwa hamu Jumapili hii ni timu kuingia Top four Tottenham Biashara ilishaisha ana uhakika wa kumaliza top 4 za kushiriki Uefa Bado nafasi mbili Kwa timu tatu Man City, Liverpool na Arsenal lolote linaweza kutokea ila pia kumaliza nafasi ya nne itategemea na matokeo ya Manchester United fainali ya Europa League.
Wafungaji-PL
1-Harry Kane (Tottenham) -26
2-Romelu Lukaku (Evarton) -24
3-Alexis Sánchez (Arsenal) -23
4-Diego Costa (Chelsea) -20
5-Sergio Agüero (Man City) -18
Pasi za Magoli (Assist) -PL
1-Kelvin De Bruyne (Man City) -16
2-Christian Eriksen (Tottenham) -13
-Gylfi Sigurdsson (Swansea)-13
3-Cesc Fabregas (Chelsea) -11
4-Alexis Sánchez (Arsenal) -10
5-Wilfred Zaha (Crystal Palace) -9
*HISPANIA -Premira Devision (Laliga)*
Ratiba (J1)-May 20
18:00 Sporting Gijón vs Real Betis
20:00 Leganés vs Deportivo Alvés
20:00 Deportivo la Coruña vs Las Palmas
22:00 Sevilla vs Osasuna
Ratiba (J2)-May 21
17:45 Atletical Madrid vs Athletic Madrid
17:45 Valencia vs Villarrieal
17:45 Celta de Vigo vs Real Sociedad
21:00 Barcelona vs Eibar
21:00 Málaga vs Real Madrid
Msimamo -Laliga
P-GD-Pts
1-Real Madrid 37 63 90
2-Barcelona 37 77 87
3-Atletical 37 41 75
4-Sevilla 37 15 69
5-Villarrieal 37 21 64
-Vita Bado iko kwenye ubingwa Kati ya Real Madrid na Barcelona ila Real Madrid wana nafasi kubwa ya kubeba ubingwa Kwani wanahitaji sare ya Aina yoyote kuchukua kombe dhidi ya Barcelona inayoomba Real Madrid afungwe na Málaga na Wao washinde dhidi ya Eibar ili wawe mabingwa wa Laliga
-Vita ya kuingia Top 4 Tayari ilashamalizika Kama ilivyo chini Tayari Osasuna na Granada zimeshuka Daraja Huku sporting Gijón nao Kama wameshuka tu wanaomba Deportivo la Coruña apoteze mechi yake ya mwisho na Wao washinde kuanzisha mabao tisa.
Wafungaji (Laliga)
1-Lionel Messi (Barcelona) -35
2-Luis Suárez (Barcelona) -27
3-Cristiano Ronaldo (Real Madrid) -24
4-Iago Aspas (Celta de Vigo) -18
5-Antonie Grezimann (Atletical Madrid) -16
-Aritz Aduriz (Athetical Bilbao) -16
*GERMANY -Bundersliga*
Ratiba (J1)-May 20
16:30 Bayern München vs Freiburg
16:30 Dortmund vs Wender Bremen
16:30 Frankfurt vs Leipzig
16:30 Humburg vs Wolfsburg
16:30 Hertha BSC vs Bayern Liverkusen
16:30 Hoffenheim vs Augsburg
16:30 Ingolstadt vs Schalke 04
16:30 Köln vs Mainz 05
16:30 M'gladbach vs Darmstadt
Msimamo (Bundersliga)
P-GD-Pts
1-Bayern München 33 64 79
2-RB Leipzig 33 27 66
3-Dortmund 33 31 61
4-Hoffenheim 33 27 61
5-Hertha BSC 33 0 49
-Tayari bingwa wa Bundersliga anajulikana, tayari timu NNE za juu zinajulikana
-Tayar timu mbili (Darmstadt na Ingolstadt) za kushuka Daraja zinajulikana Bado moja Kati ya timu nne (Mainz, Augsburg, Wolfsburg na Hamburg) yoyote anaweza kushuka daraja.
Wafungaji (Bundersliga)
1-Robert Lewandowski (Bayern München) -30
2-Aubameyang (Borrusia Dontmund) -29
3-Anthony Modeste (Fc Köln) -25
4-Timo Werner (Rb Leipzig) -21
5-Mario Gomez (Vfl Wolfsburg) -16
*ITALIA (Seria A)*
Ratiba (J1)-May 20
19:00 Chievo vs Roma
21:45 Napoli vs Fiorentina.
Ratiba (J2) -may 21
16:00 Empoli vs Atalanta
16:00 Genoa vs Torino
16:00 Juventus vs Crotone
16:00 Ac Milan vs Bologna
16:00 Sassuolo vs Cagliari
16:00 Udinese vs Sampdoria
21:45 Lazio vs Inter Milan
NB -(Ligi ya Italia itaisha week ijayo)
Msimamo -Seria A
P-GD-PTS
1-Juventus 36 46 85
2-Roma 36 49 81
3- Napoli 36 50 80
4-Lazio 36 27 70
5-Atalanta 36 19 66
-Vita Bado Kwa timu tatu ila nafasi kubwa ipo kwa Juventus inahitaji Ushindi wa mechi moja Kati ya mbili zilizobaki. Kuingia Top 4 Bado nafasi moja Kati ya Atalanta na Lazio wanawania
-Kule chini kama kawa wawili tayari tumeseme Kwa kheri mwalimu tutaonana kesho timu ya
Pescara na Palermo zimeshuka daraja Huku nafasi moja ya kwa kheri mwalimu ni kati ya timu tatu nazo ni Genoa, Empoli, na Crotone mmoja wao atashuka daraja
Wafungaji(Seria A)
1-Edin Dzeko (As Roma) -27
2-Dries Mertens (Napoli) -25
-Andrea Belotti (Torino) -25
3-Gonzalo Higuan (Juventus) -24
-Mauro Icardi (Inter Milan) -24
4-Ciro Immobile (Lazio) -20
5-Marco Borriello (Cagliari) -16
-Lorenzo Insigne (Napoli) -16
*UFARANSA-ligue 1*
Ratiba (J1)-may 20
22:00 Angers vs Montpellier
22:00 Guingamp vs Metz
22:00 Lille vs Nantes
22:00 Lorient vs Bordeaux
22:00 Lyon vs Nice
22:00 Marseille vs Bastia
22:00 Nancy vs Saint-Étienne
22:00 PSG vs Caen
22:00 Rennes vs Monaco
22:00 Toulouse vs Dijon
Msimamo -Ligue 1
P-GD-Pts
1-Monaco 37 75 92
2-PSG 37 56 86
3-Nice 37 27 77
4-Lyon 37 29 66
5-Marseille 37 15 59
-Bingwa tayari mtu wangu ni Monaco Fc walichukua Jumatano iliyopita, top 4 Tayari kama unavyoona hapo kule chini kama dawa timu Bastia na Nancy wameshuka daraj Bado timu moja Kati ya timu tatu (Dijon, Caen na Lorient) mmoja atashuka ataungana na Bastia na Nancy..
Wafungaji (Legue 1)
1-Edinson Cavani (PSG) -35
2-Alexander Lacazette (Lyon) -26
3-Radamel Falcao (Monaco) -21
4-Bafetimbi Gomis (Marseille)-19
5-Mario Balotelli (Nice) -15
-Kylian Mbappé (Monaco) -15
-Ivan Santini (Caen) -15
-Florian Thauvin (Marseille)-15
+(AFRIKA U17 CUP OF NATIONS
Ratiba(J1)-May 20
20:30 Ghana u17 vs Guinea u17
20:30 Cameroon u17 vs Gabon u17
Msimamo kundi A
P W D L F A Pts
1-Ghana 2 2 0 0 9 0 6
2-Guinea 2 1 1 0 6 2 4
3-Cameroon 2 0 1 1 1 5 1
4-Gabon 2 0 0 2 1 10 0
-Ghana Tayari amefuzu Hatua ya nusu fainali na kupata tiketi ya kushiriki kombe la dunia India, wenyeji Gabon tayari walishaaga mashindano na mechi ya leo wanakamilisha Ratiba tu Huku Cameroon Ataomba Ghana amufunge Guinea na yeye Ashinde mechi dhidi ya Gabon zaid ya mabao manne.
Ratiba (J2)-May 21
20:30 Mali u17 vs Angola u17
20:30 Tanzania u17 vs Niger u17
Msimamo Kundi B
P W D L F A Pts
1-Mali 2 1 1 0 2 1 4
2-Tanzania 2 1 1 0 2 1 4
3-Angola 2 0 1 1 3 4 1
4-Niger 2 0 1 1 3 4 1
-kundi Bado lipo wazi kbsa yoyote anaweza kufuzu Hatua ya nusu fainali mechi za Jumapili zitachezwa muda mmoja ahueni Kwa timu mbili Mali na Tanzania zinahitaji sare yoyote ili kuweza kufuzu Hatua ya nusu fainali na kupata tiketi ya kushiriki kombe la dunia India. Niger na Angola zitafuzu iwapo tu zitashinda mechi zao.
Fresh newstvz channel youtube
*RATIBA, MISIMAMO, WAFUNGAJI LIGI MBALIMBALI LEO JUMAMOSI MAY 20*
*TANZANIA -Vodacom Premier League*
Ratiba(J1)-May 20
16:00 Mbao Fc vs Yanga Sc
16:00 Simba Sc vs Mwadui Fc
16:00 Azam Fc vs Kagera Sugar
16:00 Majimaji vs Mbeya City
16:00 Stand United vs Ruvu Shooting
16:00 Tz Prison vs African Lyon
16:00 Mtibwa Sugar vs Toto African
16:00 Ndanda Fc vs JKT Ruvu
Msimamo
P-GD-PTS
1-Yanga 29 44 68
2-Simba 29 32 65
3-Azam 29 17 52
4-Kagera 29 6 50
5-Mtibwa 29 0 41
6-Ruvu 29 -4 36
7-Stand 29 -2 35
8-Mwadui 29 -12 35
9-Prison 29 -7 34
10-Mbeya 29 -4 33
11-Majimaji 29 -13 32
12-Lyon 29 -9 31
13-Mbao 29 -9 30
14-Ndanda 29 -17 30
15-Toto 29 -10 29
16-JKT 29 -12 23
-Ubingwa asilimia 99 unaenda Kwa Yanga, Simba wanaweza kuchukua ubingwa iwapo yanga atapoteza mechi ya leo dhidi ya Mbao na Simba washinde Kwa mabao Mengi zaidi ya kumi na tatu.
-kwenye kushuka daraja Tayari JKT Ruvu ameshashuka tayari Bado wawili kati ya timu tano (Majimaji, Lyon, Mbao, Ndanda na toto) mbichi na mbivu kujulikana Leo sa 10:00
Wafungaji VPL
1-Saimon Msuva (Yanga) -14
2-Abdulrahman Mussa (Ruvu) -13
3-Mbaraka Yusuph (kagera) -12
-Obrey Chirwa (Yanga) -12
4-Shiza Kichuya (Simba) -11
-Amis Tambwe (Yanga) -11
5-John Boko (Azam) -9
-Kelvin Sabato (Majimaji) -9
*ENGLAND -Premier League*
Ratiba(J2)-May 21
17:00 Arsenal vs Evarton
17:00 Bunley vs West Ham
17:00 Chelsea vs Sunderland
17:00 Hull City vs Tottenham
17:00 Leicester City vs Bournemouth
17:00 Liverpool vs Middlesbrough.
17:00 Man United vs Crystal Palace
17:00 Southampton vs Stoke City
17:00 Swansea vs West Bromwich
17:00 Watford vs Manchester City
Msimamo EPL
P--GD--Pts
1-Chelsea 37 48 90
2-Tottenham 37 54 83
3-Man City 37 36 75
4-Liverpool 37 33 73
5-Arsenal 37 31 72
6-Man United 37 23 66
7-Evarton 37 20 61
-Tayari Chelsea mabingwa wa Premier League msimu Huu na pia Sunderland, Middlesbrough, na Hull City zimeshuka daraja.
-Vita iliyobaki na ambayo inasubiliwa Kwa hamu Jumapili hii ni timu kuingia Top four Tottenham Biashara ilishaisha ana uhakika wa kumaliza top 4 za kushiriki Uefa Bado nafasi mbili Kwa timu tatu Man City, Liverpool na Arsenal lolote linaweza kutokea ila pia kumaliza nafasi ya nne itategemea na matokeo ya Manchester United fainali ya Europa League.
Wafungaji-PL
1-Harry Kane (Tottenham) -26
2-Romelu Lukaku (Evarton) -24
3-Alexis Sánchez (Arsenal) -23
4-Diego Costa (Chelsea) -20
5-Sergio Agüero (Man City) -18
Pasi za Magoli (Assist) -PL
1-Kelvin De Bruyne (Man City) -16
2-Christian Eriksen (Tottenham) -13
-Gylfi Sigurdsson (Swansea)-13
3-Cesc Fabregas (Chelsea) -11
4-Alexis Sánchez (Arsenal) -10
5-Wilfred Zaha (Crystal Palace) -9
*HISPANIA -Premira Devision (Laliga)*
Ratiba (J1)-May 20
18:00 Sporting Gijón vs Real Betis
20:00 Leganés vs Deportivo Alvés
20:00 Deportivo la Coruña vs Las Palmas
22:00 Sevilla vs Osasuna
Ratiba (J2)-May 21
17:45 Atletical Madrid vs Athletic Madrid
17:45 Valencia vs Villarrieal
17:45 Celta de Vigo vs Real Sociedad
21:00 Barcelona vs Eibar
21:00 Málaga vs Real Madrid
Msimamo -Laliga
P-GD-Pts
1-Real Madrid 37 63 90
2-Barcelona 37 77 87
3-Atletical 37 41 75
4-Sevilla 37 15 69
5-Villarrieal 37 21 64
-Vita Bado iko kwenye ubingwa Kati ya Real Madrid na Barcelona ila Real Madrid wana nafasi kubwa ya kubeba ubingwa Kwani wanahitaji sare ya Aina yoyote kuchukua kombe dhidi ya Barcelona inayoomba Real Madrid afungwe na Málaga na Wao washinde dhidi ya Eibar ili wawe mabingwa wa Laliga
-Vita ya kuingia Top 4 Tayari ilashamalizika Kama ilivyo chini Tayari Osasuna na Granada zimeshuka Daraja Huku sporting Gijón nao Kama wameshuka tu wanaomba Deportivo la Coruña apoteze mechi yake ya mwisho na Wao washinde kuanzisha mabao tisa.
Wafungaji (Laliga)
1-Lionel Messi (Barcelona) -35
2-Luis Suárez (Barcelona) -27
3-Cristiano Ronaldo (Real Madrid) -24
4-Iago Aspas (Celta de Vigo) -18
5-Antonie Grezimann (Atletical Madrid) -16
-Aritz Aduriz (Athetical Bilbao) -16
*GERMANY -Bundersliga*
Ratiba (J1)-May 20
16:30 Bayern München vs Freiburg
16:30 Dortmund vs Wender Bremen
16:30 Frankfurt vs Leipzig
16:30 Humburg vs Wolfsburg
16:30 Hertha BSC vs Bayern Liverkusen
16:30 Hoffenheim vs Augsburg
16:30 Ingolstadt vs Schalke 04
16:30 Köln vs Mainz 05
16:30 M'gladbach vs Darmstadt
Msimamo (Bundersliga)
P-GD-Pts
1-Bayern München 33 64 79
2-RB Leipzig 33 27 66
3-Dortmund 33 31 61
4-Hoffenheim 33 27 61
5-Hertha BSC 33 0 49
-Tayari bingwa wa Bundersliga anajulikana, tayari timu NNE za juu zinajulikana
-Tayar timu mbili (Darmstadt na Ingolstadt) za kushuka Daraja zinajulikana Bado moja Kati ya timu nne (Mainz, Augsburg, Wolfsburg na Hamburg) yoyote anaweza kushuka daraja.
Wafungaji (Bundersliga)
1-Robert Lewandowski (Bayern München) -30
2-Aubameyang (Borrusia Dontmund) -29
3-Anthony Modeste (Fc Köln) -25
4-Timo Werner (Rb Leipzig) -21
5-Mario Gomez (Vfl Wolfsburg) -16
*ITALIA (Seria A)*
Ratiba (J1)-May 20
19:00 Chievo vs Roma
21:45 Napoli vs Fiorentina.
Ratiba (J2) -may 21
16:00 Empoli vs Atalanta
16:00 Genoa vs Torino
16:00 Juventus vs Crotone
16:00 Ac Milan vs Bologna
16:00 Sassuolo vs Cagliari
16:00 Udinese vs Sampdoria
21:45 Lazio vs Inter Milan
NB -(Ligi ya Italia itaisha week ijayo)
Msimamo -Seria A
P-GD-PTS
1-Juventus 36 46 85
2-Roma 36 49 81
3- Napoli 36 50 80
4-Lazio 36 27 70
5-Atalanta 36 19 66
-Vita Bado Kwa timu tatu ila nafasi kubwa ipo kwa Juventus inahitaji Ushindi wa mechi moja Kati ya mbili zilizobaki. Kuingia Top 4 Bado nafasi moja Kati ya Atalanta na Lazio wanawania
-Kule chini kama kawa wawili tayari tumeseme Kwa kheri mwalimu tutaonana kesho timu ya
Pescara na Palermo zimeshuka daraja Huku nafasi moja ya kwa kheri mwalimu ni kati ya timu tatu nazo ni Genoa, Empoli, na Crotone mmoja wao atashuka daraja
Wafungaji(Seria A)
1-Edin Dzeko (As Roma) -27
2-Dries Mertens (Napoli) -25
-Andrea Belotti (Torino) -25
3-Gonzalo Higuan (Juventus) -24
-Mauro Icardi (Inter Milan) -24
4-Ciro Immobile (Lazio) -20
5-Marco Borriello (Cagliari) -16
-Lorenzo Insigne (Napoli) -16
*UFARANSA-ligue 1*
Ratiba (J1)-may 20
22:00 Angers vs Montpellier
22:00 Guingamp vs Metz
22:00 Lille vs Nantes
22:00 Lorient vs Bordeaux
22:00 Lyon vs Nice
22:00 Marseille vs Bastia
22:00 Nancy vs Saint-Étienne
22:00 PSG vs Caen
22:00 Rennes vs Monaco
22:00 Toulouse vs Dijon
Msimamo -Ligue 1
P-GD-Pts
1-Monaco 37 75 92
2-PSG 37 56 86
3-Nice 37 27 77
4-Lyon 37 29 66
5-Marseille 37 15 59
-Bingwa tayari mtu wangu ni Monaco Fc walichukua Jumatano iliyopita, top 4 Tayari kama unavyoona hapo kule chini kama dawa timu Bastia na Nancy wameshuka daraj Bado timu moja Kati ya timu tatu (Dijon, Caen na Lorient) mmoja atashuka ataungana na Bastia na Nancy..
Wafungaji (Legue 1)
1-Edinson Cavani (PSG) -35
2-Alexander Lacazette (Lyon) -26
3-Radamel Falcao (Monaco) -21
4-Bafetimbi Gomis (Marseille)-19
5-Mario Balotelli (Nice) -15
-Kylian Mbappé (Monaco) -15
-Ivan Santini (Caen) -15
-Florian Thauvin (Marseille)-15
+(AFRIKA U17 CUP OF NATIONS
Ratiba(J1)-May 20
20:30 Ghana u17 vs Guinea u17
20:30 Cameroon u17 vs Gabon u17
Msimamo kundi A
P W D L F A Pts
1-Ghana 2 2 0 0 9 0 6
2-Guinea 2 1 1 0 6 2 4
3-Cameroon 2 0 1 1 1 5 1
4-Gabon 2 0 0 2 1 10 0
-Ghana Tayari amefuzu Hatua ya nusu fainali na kupata tiketi ya kushiriki kombe la dunia India, wenyeji Gabon tayari walishaaga mashindano na mechi ya leo wanakamilisha Ratiba tu Huku Cameroon Ataomba Ghana amufunge Guinea na yeye Ashinde mechi dhidi ya Gabon zaid ya mabao manne.
Ratiba (J2)-May 21
20:30 Mali u17 vs Angola u17
20:30 Tanzania u17 vs Niger u17
Msimamo Kundi B
P W D L F A Pts
1-Mali 2 1 1 0 2 1 4
2-Tanzania 2 1 1 0 2 1 4
3-Angola 2 0 1 1 3 4 1
4-Niger 2 0 1 1 3 4 1
-kundi Bado lipo wazi kbsa yoyote anaweza kufuzu Hatua ya nusu fainali mechi za Jumapili zitachezwa muda mmoja ahueni Kwa timu mbili Mali na Tanzania zinahitaji sare yoyote ili kuweza kufuzu Hatua ya nusu fainali na kupata tiketi ya kushiriki kombe la dunia India. Niger na Angola zitafuzu iwapo tu zitashinda mechi zao.
Fresh newstvz channel youtube
Wednesday, April 26, 2017
JE KWANINI KUWA NA MPENZI ZAIDI YA MMOJA AU ZINAA IMEKATAZWA?SOMA HADI MWISHO KUJUA SABABU *KISAYANSI*
Ndani ya manii mna kitu gani kitaalamu.
Ndani ya manii mna vitu vikuu vinne:
• PROTEIN,
• ACID,
• SPERM au CHROMOSOME,
• VIRUS.
PROTEIN: Ni aina mojawapo ya “Food
Substance” inayorutubisha mwili. Substance hii
inapatikana ndani ya manii na pia watu wa
mambo ya reproduction system (mfumo wa
uzazi) wanakubali kwamba manii yanatokana na
aina hii ya chakula na ndiyo maana kama una
njaa shughuli ya Jimai inashindikana, au kama
utajilazimisha utapata madhara.
ACID: Ni mfano wa tindikali, yaani kitu chenye
ladha ya ukali mfano ndimu. Na kitu chenye
tindikali kina kawaida ya kuunguza na pia
kulegeza kwa itakayompata au kumuingia, ndiyo
sababu kitaalam ukimlinganisha mwanamke
aliyeolewa na asiyeolewa kisha akawa hafanyi
zinaa maumbile yao yanatofautiana. Yule
aliyeolewa mwili wake unakuwa laini zaidi
sababu ya acid inayopatikana ndani ya manii.
Nitakupa mifano mingi iliyo hai ili akili yako
ikubali kwamba vyote vinavyotajwa vinapatikana
ndani ya manii. Ukitaka kuthibitisha zaidi acid ya
katika manii ambayo inaunguza nakulegeza hata
ukiwa na kidonda kibichi ukitia manii kitauma
mara mbili zaidi sababu ya acid. Mfano
mwingine tazama kwa wale watoto wa kiume
ambao wanaingiliwa kinyume na maumbile
(mashoga) hata kama zamani alikuwa strong
(imara) kiasi gani akiingiliwa tu, basi analegea
kuanzia kutembea, kuzungumza na kila kitu
sababu ni Acid inayopatikana ndani ya manii.
Pia ndio maana inakatazwa kumuingilia
mwanamke anayenyonyesha sababu ukimuingilia
ukamuingizia manii
ambayo yana acid, acid ile itapanda katika
maziwa na kuyaharibu maziwa na hapo mtoto
akinyonya atanyonya
maziwa yenye acid. Itasababisha mtoto kulegea
au kwa watu wa pwani wanaita
kubemendwa, hivyo mtakua mmemharibu mtoto.
Lakini kama
atakula acid ya baba yake hatadhurika sana,
sababu atakula
acid ambayo kwa asili ndiyo iliyomtengeneza. Ila
mke akiziniwa na mtu mwingine mtoto
ataathirika sana na pengine itakuwa ni sababu
ya kifo chake kwa kuwa amekula acid ambayo si
ya asili kutoka kwa wazazi wake hivyo itakuwa
ni POISON (sumu) kwake. Kazi kubwa ya acid
kwenye manii ni kuua bacteria zisizohusika
zinazopatikana wakati zikitoka kuelekea katika
virginal wall.
SPERM: Ni mbegu za kiume zinazopatikana
ndani ya manii na hizi mbegu haziishi ndani ya
mwili kwa sababu ya hali ya joto la mwili, kwani
mtu wa kawaida ambaye haumwi anakuwa na
nyuzi joto 37 hivyo mbegu zitakufa kutokana na
joto la ziada. Wataalamu wa mambo ya
reproduction na gynecology wanatueleza
kwamba mshindo mmoja una wastani wa watoto
milioni 200 hadi 300. Lakini yanayofanikiwa
kulifikia yai ni mia moja tu. Na yanayofanikiwa
kuingia kwa kawaida ni moja au mawili yakizidi
sana manne tu, na si zaidi ya hapo, lau kama
yakizidi basi ni kwa miujiza yake Mwenyezi
Mungu.
VIRUS: Hivi ni vijidudu ambavyo kila mtu anavyo
vya kwake na pia haviingiliani baina ya mtu na
mtu
m na hapa ndipo tutaeleza kwa kina madhara ya
zinaa kisayansi. Lazima pia tujue kuwa Virus
wanafanya kazi gani na pia wanakwenda wapi.
Katika virginal wall kuna vijistomata (vitundu)
maalum kwa ajili ya kupokea virus; sababu
mwanaume anapotoa manii yake yenye
protein,acid sperm/chromosomes na virus kila
kimoja huchukua nafasi yake kwenda
kunapohusika. Nafasi ya virus ni kuingia katika
vitundu vilivyo katika virginal m wall ili vipate
kuish humo kwa kuwa ndipo alipowapangia
Mwenyezi Mungu. Hivyo basi ukiwa unamuingilia
mkeo na ukitoa manii basi moja kwa moja virus
wako watakwenda kuingia katika vijitundu vilivyo
kwenye varginal wall ili kuishi humo. Ina maana
virus watakaoingia kuishi kwa mkeo ni wale
ambao wamezoeana. Sasa ikija kutokea mkeo
akazini na mwanaume mwingine ataingiziwa
virus wasiokuwa wako. Hivyo hawa wapya
wakiingia nao pia watataka kuingia katika yale
matundu ili nao wakaishi. Kwa kuwa ndivyo
alivyowapangia Mwenyezi Mungu, hawa wapya
wakiingia tu wale wa zamani ambao ni wa
mume, watawashangaa, watajiuliza hawa nao
wametokea wapi? Mbona si katika wale
tuliozoeana? Kwa kushangaa huku wale virus
wenyeji watawashambulia virus wageni kama
antibody bacteria (kitu kinachotoka nje ya
mwili). Na katika mapigano haya watapelekea
kundi moja kufa na kundi moja likifa lazima wale
waliokufa watoke, watatoka vipi? Au watatokea
wapi? Jibu ni pale pale walipoingilia. Hapo sasa
ndipo mtu anapoanza kutokwa uchafu. Na pia
virus wapya waliosalimika wakiona wanazidi
kushambuliwa na virus wa zamani itabidi
watoboe sehemu nyingine zisizohusika ili
wakimbie na kujificha katika nyama laini. Hapo
ndipo mtu anapoanza kupata maumivu makali
wakati wa kukojoa na pia ndio chanzo cha
magonjwa mbalimbali ya zinaa, na wakati huo
mume akimuingilia mkewe naye pia atapata
ugonjwa wa zinaa sababu atakutana na virus
wageni waliojificha kujihami katika sehemu laini
zisizohusika watamuingia mume kupitia mrija wa
urinary truck (mrija wa mkojo).
Ndio sababu Mwenyezi Mungu akasema zinaa ni
uchafu. Na uchafu unaokusudiwa ni
kuchanganya mifumo tofauti ya mwili yaani
mwanamke kuingiliwa na mwanaume zaidi ya
mumewe pekee. Na hapa ndipo tunapoona
hekima ya Mwenyezi Mungu kwa mfano kwa
baadhi ya dini kwamba kwa nini ameamrisha
mwanamke kuolewa na mwanaume mmoja na
mwanaume kuoa mwanamke zaidi ya mmoja, Hii
ni kwa sababu mwanamke anapokea manii
yenye kubeba VIRUS wa asili kutoka kwa
mumewe. Ila ieleweke kuwa mwanaume atakiwa
awe muaminifu kwa wake zake, akitoka nje ya
ndoa zake atawaletea magonjwa wakeze. Hapa
ndipo inapopatikana hekima ya mwanamke
aliyefiwa na mumewe au aleyeachwa kwa talaka
lazima akae eda. Eda si tu kuangalia kama
mwanamke ana mimba, bali pia katika kipindi
cha miezi mine na siku kumi ambacho
mwanamke anakaa eda kwa kuwa katika kipindi
hicho haingiliwi ina maana wale virus watakosa
protein inayopatikana katika
manii ambayo ndio chakula chao, hivyo
kwa kukosa chakula watakufa. Kwa hiyo katika
kipindi hicho mwanamke anaandaliwa ili kama
ataolewa tena na mume mwingine huyu mume
mpya ajitengenezee mifumo yake mipya ambayo
haitapingana na ile ya mwanzo. Hivyo Mwenyezi
Mungu alipokataza ZINAA anajua kwa kina
madhara yake. Njia bora ya kupambana na
magonjwa mbalimbali km UKIMWI ni kuacha
Zinaa.
*ukipata muda share hiyo nii Mafundisho mazur sana.
Ndani ya manii mna kitu gani kitaalamu.
Ndani ya manii mna vitu vikuu vinne:
• PROTEIN,
• ACID,
• SPERM au CHROMOSOME,
• VIRUS.
PROTEIN: Ni aina mojawapo ya “Food
Substance” inayorutubisha mwili. Substance hii
inapatikana ndani ya manii na pia watu wa
mambo ya reproduction system (mfumo wa
uzazi) wanakubali kwamba manii yanatokana na
aina hii ya chakula na ndiyo maana kama una
njaa shughuli ya Jimai inashindikana, au kama
utajilazimisha utapata madhara.
ACID: Ni mfano wa tindikali, yaani kitu chenye
ladha ya ukali mfano ndimu. Na kitu chenye
tindikali kina kawaida ya kuunguza na pia
kulegeza kwa itakayompata au kumuingia, ndiyo
sababu kitaalam ukimlinganisha mwanamke
aliyeolewa na asiyeolewa kisha akawa hafanyi
zinaa maumbile yao yanatofautiana. Yule
aliyeolewa mwili wake unakuwa laini zaidi
sababu ya acid inayopatikana ndani ya manii.
Nitakupa mifano mingi iliyo hai ili akili yako
ikubali kwamba vyote vinavyotajwa vinapatikana
ndani ya manii. Ukitaka kuthibitisha zaidi acid ya
katika manii ambayo inaunguza nakulegeza hata
ukiwa na kidonda kibichi ukitia manii kitauma
mara mbili zaidi sababu ya acid. Mfano
mwingine tazama kwa wale watoto wa kiume
ambao wanaingiliwa kinyume na maumbile
(mashoga) hata kama zamani alikuwa strong
(imara) kiasi gani akiingiliwa tu, basi analegea
kuanzia kutembea, kuzungumza na kila kitu
sababu ni Acid inayopatikana ndani ya manii.
Pia ndio maana inakatazwa kumuingilia
mwanamke anayenyonyesha sababu ukimuingilia
ukamuingizia manii
ambayo yana acid, acid ile itapanda katika
maziwa na kuyaharibu maziwa na hapo mtoto
akinyonya atanyonya
maziwa yenye acid. Itasababisha mtoto kulegea
au kwa watu wa pwani wanaita
kubemendwa, hivyo mtakua mmemharibu mtoto.
Lakini kama
atakula acid ya baba yake hatadhurika sana,
sababu atakula
acid ambayo kwa asili ndiyo iliyomtengeneza. Ila
mke akiziniwa na mtu mwingine mtoto
ataathirika sana na pengine itakuwa ni sababu
ya kifo chake kwa kuwa amekula acid ambayo si
ya asili kutoka kwa wazazi wake hivyo itakuwa
ni POISON (sumu) kwake. Kazi kubwa ya acid
kwenye manii ni kuua bacteria zisizohusika
zinazopatikana wakati zikitoka kuelekea katika
virginal wall.
SPERM: Ni mbegu za kiume zinazopatikana
ndani ya manii na hizi mbegu haziishi ndani ya
mwili kwa sababu ya hali ya joto la mwili, kwani
mtu wa kawaida ambaye haumwi anakuwa na
nyuzi joto 37 hivyo mbegu zitakufa kutokana na
joto la ziada. Wataalamu wa mambo ya
reproduction na gynecology wanatueleza
kwamba mshindo mmoja una wastani wa watoto
milioni 200 hadi 300. Lakini yanayofanikiwa
kulifikia yai ni mia moja tu. Na yanayofanikiwa
kuingia kwa kawaida ni moja au mawili yakizidi
sana manne tu, na si zaidi ya hapo, lau kama
yakizidi basi ni kwa miujiza yake Mwenyezi
Mungu.
VIRUS: Hivi ni vijidudu ambavyo kila mtu anavyo
vya kwake na pia haviingiliani baina ya mtu na
mtu
m na hapa ndipo tutaeleza kwa kina madhara ya
zinaa kisayansi. Lazima pia tujue kuwa Virus
wanafanya kazi gani na pia wanakwenda wapi.
Katika virginal wall kuna vijistomata (vitundu)
maalum kwa ajili ya kupokea virus; sababu
mwanaume anapotoa manii yake yenye
protein,acid sperm/chromosomes na virus kila
kimoja huchukua nafasi yake kwenda
kunapohusika. Nafasi ya virus ni kuingia katika
vitundu vilivyo katika virginal m wall ili vipate
kuish humo kwa kuwa ndipo alipowapangia
Mwenyezi Mungu. Hivyo basi ukiwa unamuingilia
mkeo na ukitoa manii basi moja kwa moja virus
wako watakwenda kuingia katika vijitundu vilivyo
kwenye varginal wall ili kuishi humo. Ina maana
virus watakaoingia kuishi kwa mkeo ni wale
ambao wamezoeana. Sasa ikija kutokea mkeo
akazini na mwanaume mwingine ataingiziwa
virus wasiokuwa wako. Hivyo hawa wapya
wakiingia nao pia watataka kuingia katika yale
matundu ili nao wakaishi. Kwa kuwa ndivyo
alivyowapangia Mwenyezi Mungu, hawa wapya
wakiingia tu wale wa zamani ambao ni wa
mume, watawashangaa, watajiuliza hawa nao
wametokea wapi? Mbona si katika wale
tuliozoeana? Kwa kushangaa huku wale virus
wenyeji watawashambulia virus wageni kama
antibody bacteria (kitu kinachotoka nje ya
mwili). Na katika mapigano haya watapelekea
kundi moja kufa na kundi moja likifa lazima wale
waliokufa watoke, watatoka vipi? Au watatokea
wapi? Jibu ni pale pale walipoingilia. Hapo sasa
ndipo mtu anapoanza kutokwa uchafu. Na pia
virus wapya waliosalimika wakiona wanazidi
kushambuliwa na virus wa zamani itabidi
watoboe sehemu nyingine zisizohusika ili
wakimbie na kujificha katika nyama laini. Hapo
ndipo mtu anapoanza kupata maumivu makali
wakati wa kukojoa na pia ndio chanzo cha
magonjwa mbalimbali ya zinaa, na wakati huo
mume akimuingilia mkewe naye pia atapata
ugonjwa wa zinaa sababu atakutana na virus
wageni waliojificha kujihami katika sehemu laini
zisizohusika watamuingia mume kupitia mrija wa
urinary truck (mrija wa mkojo).
Ndio sababu Mwenyezi Mungu akasema zinaa ni
uchafu. Na uchafu unaokusudiwa ni
kuchanganya mifumo tofauti ya mwili yaani
mwanamke kuingiliwa na mwanaume zaidi ya
mumewe pekee. Na hapa ndipo tunapoona
hekima ya Mwenyezi Mungu kwa mfano kwa
baadhi ya dini kwamba kwa nini ameamrisha
mwanamke kuolewa na mwanaume mmoja na
mwanaume kuoa mwanamke zaidi ya mmoja, Hii
ni kwa sababu mwanamke anapokea manii
yenye kubeba VIRUS wa asili kutoka kwa
mumewe. Ila ieleweke kuwa mwanaume atakiwa
awe muaminifu kwa wake zake, akitoka nje ya
ndoa zake atawaletea magonjwa wakeze. Hapa
ndipo inapopatikana hekima ya mwanamke
aliyefiwa na mumewe au aleyeachwa kwa talaka
lazima akae eda. Eda si tu kuangalia kama
mwanamke ana mimba, bali pia katika kipindi
cha miezi mine na siku kumi ambacho
mwanamke anakaa eda kwa kuwa katika kipindi
hicho haingiliwi ina maana wale virus watakosa
protein inayopatikana katika
manii ambayo ndio chakula chao, hivyo
kwa kukosa chakula watakufa. Kwa hiyo katika
kipindi hicho mwanamke anaandaliwa ili kama
ataolewa tena na mume mwingine huyu mume
mpya ajitengenezee mifumo yake mipya ambayo
haitapingana na ile ya mwanzo. Hivyo Mwenyezi
Mungu alipokataza ZINAA anajua kwa kina
madhara yake. Njia bora ya kupambana na
magonjwa mbalimbali km UKIMWI ni kuacha
Zinaa.
*ukipata muda share hiyo nii Mafundisho mazur sana.
Friday, April 21, 2017
*USIYOYAJUA KUHUSU MARAFIKI* -
👉🏻Kuna mengi hatujui kuhusu marafiki zetu.
Kuna watu wameumizwa na marafiki zao kwa sababu hawakuwa na macho ya rohoni kuweza kuwatazama.
Kama wewe ni mmoja kati ya wale ambao marafiki wamekuwa jaribu, basi somo hili na likawe msaada kwako.
1⃣ *CONFIDANTS*
Hili ni kundi la kwanza la marafiki.
“Confidants” ni wale marafiki wanaokupenda bila masharti. Wako nawe ukiwa juu au chini, ukiwa tajiri au maskini, ukiwa sahihi au ukikosea, wako pamoja na wewe. Ukipelekwa gerezani watakufuata, ukilia watalia pamoja nawe, na ukifurahi watafurahi pamoja nawe. Ni watu ambao unakuwa huru zaidi kuwaeleza kila jambo kuhusu maisha yako (kuliko hata ndugu zako) na kwa kufanya hivyo unajikuta unafarijika na kupata amani moyoni. Hutaweza kutimiza maono yako bila kuwapata “Confidants” wako.
👉🏼Confidants ndio wanaoelezwa katika Mithali 18:24; kuwa ni marafiki wanaoambatana na mtu kuliko ndugu. Mungu anakuletea watu kama hawa kwenye biashara, katika huduma, katika uongozi n.k. ili wakusaidie kwa maombi, ushauri na kukuonya, ili uweze kufanikiwa kama Mungu alivyokusudia. Ukipata wawili au watatu katika maisha yako, basi wewe ni mtu uliyebarikiwa sana, kwa sababu bila watu hawa hutaweza kuwa vile Mungu alivyotaka uwe. Usiwapoteze confidants wako kirahisi. Mungu akusaidie uwe confidant kwa mtu fulani.
2⃣ *CONSTITUENTS*
Hawa ni marafiki hatari, kwa sababu hawako kwa ajili yako, wapo kuiba maono yako. Ni wezi wa maono. Biblia inasema pasipo maono watu huangamia (Mithali 29:18); Kwa hiyo anayekuibia maono kwa lugha nyingine amekuangamiza. Unakuta binti amepata mchumba, (au hata wakaka sometimes!!!!) anamshirikisha rafiki yake kile Bwana alichomtendea, lakini baada ya muda mfupi anaachwa na anashangaa rafiki yake mtu aliyemuamini saaaaaana amemuibia mchumba. Watu wengi wameumizwa na marafiki kwa namna hii but kiukweli hawasemi tu.. Huyo alikuwa rafiki aina ya “constituent”, unachotaka ndicho anachotaka. Ole wako wewe mwenye constituent kwenye mahusiano au biashara yako ukidhani ni confidant. Ukimueleza constituent habari za mchumba wako atakuibia (abiria chunga mzigo wako!!!) Ukimueleza constituent habari za wazo la biashara unayotaka kuanzisha atakuibia hilo wazo.
👉🏻Kumbuka vizuri habari za Yakobo na Esau, Yakobo alikuwa “constituent” kwa Esau, akamwibia baraka. Na Mungu amekupa marafiki kama hawa kwa lengo moja kubwa, _kukufundisha kwa vitendo kwamba maono yako yanaweza kuibiwa usipoyalinda_ .. Mungu akupe “MACHO” ya kuwajua constituents katika maisha yako.
3⃣ *COMRADES*
Hawa ni marafiki ambao Mungu anawaleta katika maisha yako kwa kusudi maalumu, sometimes kwa muda maalumu tu na baada ya hapo hutawaona tena. Ni watu wanaopigana na kile unachopigana nacho, kukusaidia kushinda upinzani mkubwa na baada ya hapo hutawaona tena. Sasa usipate shida wakikuacha na kuondoka, hawa hawatadumu nawe kipindi kirefu. Hawa ni kama ngazi (ladder) ambayo inahitajika sana wakati nyumba inajengwa, lakini nyumba ikishakamilika ngazi itaondolewa ila nyumba itabaki.
👉🏻Simoni mkirene alionekana tu wakat wa kumsaidia Yesu msalaba na kuufikisha Golgotha, baada ya hapo hatujui alielekea wapi (Mt 27:32). Pia kumbuka Yonathani alivyomsaidia Daudi kupigania nafasi yake ya ufalme, na baadaye tunaambiwa Yonathani mwenyewe akafa muda mchache kabla hata Daudi hajalipa fadhila (2 Sam 1:26), kwa sababu Yonathani alikuwa Comrade wa Daudi. Huwezi kuwa Daudi bila kumpata Yonathani wako!! Pia kumbuka namna Filipo alipomsaidia Towashi wa Kushi kuokoka. Baada tu ya kumbatiza, Biblia inasema Filipo akachukuliwa na Roho mtakatifu. Comrades si marafiki wa kudumu.
❇NB.
Wako marafiki wengine hawako kwenye kundi lolote kati ya hayo niliyoyataja hapo juu.
Hao nawaita “wrong partners”. Hutaweza kufika unakokwenda usipojitenga nao mapema. Mkumbuke Yona. Watu wote kwenye meli wangeangamia kama wasingemtupa Yona baharini. He was a wrong partner (japo ni mtumishi wa Mungu). Mtupe Yona wako, ili ufike salama. Kuna huduma zimekwama, kuna makampuni yamerudi nyuma, kuna biashara zimefilisika kwa sababu wamembeba Yona bila kujua atawaletea shida safarini.. mtupe
Yona wako, Tafuta Confidants wako,..
Much love.
By fresh newstvz
Elimikahapa1.blogspot.com
👉🏻Kuna mengi hatujui kuhusu marafiki zetu.
Kuna watu wameumizwa na marafiki zao kwa sababu hawakuwa na macho ya rohoni kuweza kuwatazama.
Kama wewe ni mmoja kati ya wale ambao marafiki wamekuwa jaribu, basi somo hili na likawe msaada kwako.
1⃣ *CONFIDANTS*
Hili ni kundi la kwanza la marafiki.
“Confidants” ni wale marafiki wanaokupenda bila masharti. Wako nawe ukiwa juu au chini, ukiwa tajiri au maskini, ukiwa sahihi au ukikosea, wako pamoja na wewe. Ukipelekwa gerezani watakufuata, ukilia watalia pamoja nawe, na ukifurahi watafurahi pamoja nawe. Ni watu ambao unakuwa huru zaidi kuwaeleza kila jambo kuhusu maisha yako (kuliko hata ndugu zako) na kwa kufanya hivyo unajikuta unafarijika na kupata amani moyoni. Hutaweza kutimiza maono yako bila kuwapata “Confidants” wako.
👉🏼Confidants ndio wanaoelezwa katika Mithali 18:24; kuwa ni marafiki wanaoambatana na mtu kuliko ndugu. Mungu anakuletea watu kama hawa kwenye biashara, katika huduma, katika uongozi n.k. ili wakusaidie kwa maombi, ushauri na kukuonya, ili uweze kufanikiwa kama Mungu alivyokusudia. Ukipata wawili au watatu katika maisha yako, basi wewe ni mtu uliyebarikiwa sana, kwa sababu bila watu hawa hutaweza kuwa vile Mungu alivyotaka uwe. Usiwapoteze confidants wako kirahisi. Mungu akusaidie uwe confidant kwa mtu fulani.
2⃣ *CONSTITUENTS*
Hawa ni marafiki hatari, kwa sababu hawako kwa ajili yako, wapo kuiba maono yako. Ni wezi wa maono. Biblia inasema pasipo maono watu huangamia (Mithali 29:18); Kwa hiyo anayekuibia maono kwa lugha nyingine amekuangamiza. Unakuta binti amepata mchumba, (au hata wakaka sometimes!!!!) anamshirikisha rafiki yake kile Bwana alichomtendea, lakini baada ya muda mfupi anaachwa na anashangaa rafiki yake mtu aliyemuamini saaaaaana amemuibia mchumba. Watu wengi wameumizwa na marafiki kwa namna hii but kiukweli hawasemi tu.. Huyo alikuwa rafiki aina ya “constituent”, unachotaka ndicho anachotaka. Ole wako wewe mwenye constituent kwenye mahusiano au biashara yako ukidhani ni confidant. Ukimueleza constituent habari za mchumba wako atakuibia (abiria chunga mzigo wako!!!) Ukimueleza constituent habari za wazo la biashara unayotaka kuanzisha atakuibia hilo wazo.
👉🏻Kumbuka vizuri habari za Yakobo na Esau, Yakobo alikuwa “constituent” kwa Esau, akamwibia baraka. Na Mungu amekupa marafiki kama hawa kwa lengo moja kubwa, _kukufundisha kwa vitendo kwamba maono yako yanaweza kuibiwa usipoyalinda_ .. Mungu akupe “MACHO” ya kuwajua constituents katika maisha yako.
3⃣ *COMRADES*
Hawa ni marafiki ambao Mungu anawaleta katika maisha yako kwa kusudi maalumu, sometimes kwa muda maalumu tu na baada ya hapo hutawaona tena. Ni watu wanaopigana na kile unachopigana nacho, kukusaidia kushinda upinzani mkubwa na baada ya hapo hutawaona tena. Sasa usipate shida wakikuacha na kuondoka, hawa hawatadumu nawe kipindi kirefu. Hawa ni kama ngazi (ladder) ambayo inahitajika sana wakati nyumba inajengwa, lakini nyumba ikishakamilika ngazi itaondolewa ila nyumba itabaki.
👉🏻Simoni mkirene alionekana tu wakat wa kumsaidia Yesu msalaba na kuufikisha Golgotha, baada ya hapo hatujui alielekea wapi (Mt 27:32). Pia kumbuka Yonathani alivyomsaidia Daudi kupigania nafasi yake ya ufalme, na baadaye tunaambiwa Yonathani mwenyewe akafa muda mchache kabla hata Daudi hajalipa fadhila (2 Sam 1:26), kwa sababu Yonathani alikuwa Comrade wa Daudi. Huwezi kuwa Daudi bila kumpata Yonathani wako!! Pia kumbuka namna Filipo alipomsaidia Towashi wa Kushi kuokoka. Baada tu ya kumbatiza, Biblia inasema Filipo akachukuliwa na Roho mtakatifu. Comrades si marafiki wa kudumu.
❇NB.
Wako marafiki wengine hawako kwenye kundi lolote kati ya hayo niliyoyataja hapo juu.
Hao nawaita “wrong partners”. Hutaweza kufika unakokwenda usipojitenga nao mapema. Mkumbuke Yona. Watu wote kwenye meli wangeangamia kama wasingemtupa Yona baharini. He was a wrong partner (japo ni mtumishi wa Mungu). Mtupe Yona wako, ili ufike salama. Kuna huduma zimekwama, kuna makampuni yamerudi nyuma, kuna biashara zimefilisika kwa sababu wamembeba Yona bila kujua atawaletea shida safarini.. mtupe
Yona wako, Tafuta Confidants wako,..
Much love.
By fresh newstvz
Elimikahapa1.blogspot.com
Thursday, April 20, 2017
Ajira ajira kwa walimu wahi sasa.anatafutwa mwalimu anaeteka kufundisha shule za private mkoani wa pwani.
Shule iko Kongowe mbagala inahitaji biology chemistry
Offer ni nyumba na chakula cha asubhi na mchana.
Mshahara ni 840, 0000/ mpaka 920, 000/
Nyingine iko Bagamoyo pwani.
Awe na mathematics
Mshahara 700, 000/ hadi 750, 000/
Aliekuwa tayari kuifanya awasiliane na Teachers Junction
Teachers Junction is an organsation which provides networks between Teachers and schools.
In one way we pave ways for teachers to get schools of their achelion on the second side we help school to achieve its mission and vission with strategies knowlge and strategies.
For more information
E-mail :
teachersjunction@hotmail.com
Call: +255713 810857
+255753 810857
Dar es saama
Coast
Morogoro
Shule iko Kongowe mbagala inahitaji biology chemistry
Offer ni nyumba na chakula cha asubhi na mchana.
Mshahara ni 840, 0000/ mpaka 920, 000/
Nyingine iko Bagamoyo pwani.
Awe na mathematics
Mshahara 700, 000/ hadi 750, 000/
Aliekuwa tayari kuifanya awasiliane na Teachers Junction
Teachers Junction is an organsation which provides networks between Teachers and schools.
In one way we pave ways for teachers to get schools of their achelion on the second side we help school to achieve its mission and vission with strategies knowlge and strategies.
For more information
E-mail :
teachersjunction@hotmail.com
Call: +255713 810857
+255753 810857
Dar es saama
Coast
Morogoro
Naomba mwalimu anaeteka kufundisha shule za private mkoani wa pwani.
Shule iko Kongowe mbagala inahitaji biology chemistry
Offer ni nyumba na chakula cha asubhi na mchana.
Mshahara ni 840, 0000/ mpaka 920, 000/
Nyingine iko Bagamoyo pwani.
Awe na mathematics
Mshahara 700, 000/ hadi 750, 000/
Aliekuwa tayari kuifanya awasiliane na Teachers Junction
Teachers Junction is an organsation which provides networks between Teachers and schools.
In one way we pave ways for teachers to get schools of their achelion on the second side we help school to achieve its mission and vission with strategies knowlge and strategies.
For more information
E-mail :
teachersjunction@hotmail.com
Call: +255713 810857
+255753 810857
Dar es saama
Coast
Morogoro
Shule iko Kongowe mbagala inahitaji biology chemistry
Offer ni nyumba na chakula cha asubhi na mchana.
Mshahara ni 840, 0000/ mpaka 920, 000/
Nyingine iko Bagamoyo pwani.
Awe na mathematics
Mshahara 700, 000/ hadi 750, 000/
Aliekuwa tayari kuifanya awasiliane na Teachers Junction
Teachers Junction is an organsation which provides networks between Teachers and schools.
In one way we pave ways for teachers to get schools of their achelion on the second side we help school to achieve its mission and vission with strategies knowlge and strategies.
For more information
E-mail :
teachersjunction@hotmail.com
Call: +255713 810857
+255753 810857
Dar es saama
Coast
Morogoro
Monday, February 6, 2017
Tuesday, January 31, 2017
💥 *HAMASA YA SIKU, FEB 1*
✨Uzoefu katika kile unachokifanya hauji kwa bahati mbaya, bali unakuja kwa kuweka nguvu nyingi za uzingativu (Focus) kwa jambo hilo unalolifanya kwa muda mrefu. Ukitaka kuwa mtaalamu uliyebobea katika jambo lolote, weka nguvu za uzingativu katika jambo hilo bila kuacha kila siku na utalifanikisha.
✨Unaposikia _‘aisee fulani ni mzoefu wa kazi yake na inampa mafanikio,’_ tambua sio uzoefu wa miaka ila ni uzoefu wa kitaalamu. Unaweza ukawa katika kazi yako kwa muda mrefu ila kama hujifunzi, utakuwa sawa na mtu aliyeanza hiyo kazi leo.
✨Jenga uzoefu kwenye kazi yako kwa kuamua kuweka nguvu za uzingativu hapo na kujifunza kwa uhakika. Hakuna ambacho utakikosa sana ikiwa utaamua kuweka nguvu zako nyingi kwa kile unachokifanya na kuacha kuruka ruka.
Sunday, January 29, 2017
YAJUE MAMBO YANAYOSABABISHA UMASIKINI.
1 uvivu , ikiwa wewe ni mtu wa kuona kila unachofanya ni kigumu na hutaweza basi jua unakaribisha umasikini katika maisha yako.
2 kukata tamaa, ukiwa mwenye kukata tamaa kwenye mambo yako jua kabisa jahazi la umasikini linakuandama hivyo chukua hatua haraka iwezekanavyo.
3 huna ndoto za kuwa tajiri, ndugu yangu matajiri wote dunia waliishi kwa ndoto za kuwa mabilionea na walitamani mambo mazuri hivyo ndoto hukufanya ufikie malengo yako hili ni jambo muhimu sana kwenye maisha yao.
4 matumizi mabaya ya fedha, ikiwa wewe hujui namna ya kutumia pesa yako na huku kipato chako kikiwa kidogo tu basi upo kwenye hatari kubwa ya kuwa masikini.
5 kutopenda kujifunza, Hakika kama kuna jambo watu wanakosea na kuwapelekea kuwa masikini ni wao kutopendelea kujifunza vitu vipya.
Imeandaliwa na msami
1 uvivu , ikiwa wewe ni mtu wa kuona kila unachofanya ni kigumu na hutaweza basi jua unakaribisha umasikini katika maisha yako.
2 kukata tamaa, ukiwa mwenye kukata tamaa kwenye mambo yako jua kabisa jahazi la umasikini linakuandama hivyo chukua hatua haraka iwezekanavyo.
3 huna ndoto za kuwa tajiri, ndugu yangu matajiri wote dunia waliishi kwa ndoto za kuwa mabilionea na walitamani mambo mazuri hivyo ndoto hukufanya ufikie malengo yako hili ni jambo muhimu sana kwenye maisha yao.
4 matumizi mabaya ya fedha, ikiwa wewe hujui namna ya kutumia pesa yako na huku kipato chako kikiwa kidogo tu basi upo kwenye hatari kubwa ya kuwa masikini.
5 kutopenda kujifunza, Hakika kama kuna jambo watu wanakosea na kuwapelekea kuwa masikini ni wao kutopendelea kujifunza vitu vipya.
Imeandaliwa na msami
Saturday, January 21, 2017
HAMASA YA SIKU.
✨ Kuna watu wanatabia ya kuamini kwamba kwa sababu jana hawakuweza kufanikiwa, basi hata leo au kesho hawawezi kufanikiwa. Hiyo ni imani mbovu na potofu ambayo unatakiwa kuwa nayo makini sana, vinginevyo itakukwamisha sana kufikia mafanikio yako.
✨ Kama una imani hii unatakiwa kutambua ya kwamba jana sio sawa na leo, leo ni siku nyingine mpya, hivyo huna ulazima sana wa kuendelea kuamini hicho unachotaka kukiamini. Maisha yanabadilika na fikra zinabadilika pia. Usiendelee kuamini kwamba utakufa maskini, anza kuamini wewe utakuwa ni mtu wa mafanikio makubwa.
Kila la kheri,
Ni wako rafiki katika mafanikio,
Msami
Monday, January 9, 2017
Sunday, January 8, 2017
INSHA/UTUNGAJI
Insha au Utungaji ni maandishi yanayoeleza habari juu ya kitu, mtu au jambo fulani. zipo aina mbili kuu za insha: insha za maelezo, na insha za mazungumzo.
Aina za Insha
(i) Insha za Maelezo
Aina hii ya insha inajumuisha:
(a) Masimulizi ya mambo yaliyotokea (visa).
(b) Hadithi za kubuni
(c) Maelezo kuhusu au kutokana na msemo au methali fulani.
(ii) Insha za Mazungumzo
Aina hii inajumuisha:
(a) Mijadala
Katika insha ya kujadili, huwa kuna mambo mawili au zaidi;
Mwandishi anaweza kuzungumzia pande zote mbili, halafu atoe uamuzi wake. Lakini pia mwandishi ana uhuru wa kuchagua upande mmoja, ama wa kuunga mkono au kuipinga anwani aliyopewa, na kuzungumzia upande huo huo hadi mwisho.
(b) Mazungumzo/Tamthiliya
Insha za aina hii huwa na mzungumzaji zaidi ya mmoja. Insha hizi pia zinajulikana kama insha za kujibizana. Mmoja akizungumza, naye mwenzake humjibu apo hapo.
Insha yo yote huwa na sehemutatu muhimu:
(i) Mwanzo
Mwanzo wa Insha unakuwa kama salamu. Inafaa uwe wa kuvutia ili msomaji awe na hamu ya kuendelea kuisoma insha hiyo. Katika hatua hii, mwandishi huelezamaana ya mada/anwani/kichwa alichopewa. Endapo methali ni kichwa cha Insha, mwandishi ataeleza (i) maana ya juu, (ii) maana ya ndani, na (iii) matumizi ya methali aliyopewa katika jamii husika.
Endapo ni Insha ya mjadala, baada ya kueleza maana ya mada, mwandishi ataeleza kama anaunga mkono au ataupinga mjadala. Lakini pia anaweza kuamua kutoa maelezo ya pande zote mbili na halafu atoe uamuzi wake.
(ii) Maudhui
Hii ni sehemu muhimu sana katika zoezi nzima la kuiandika Insha; ni kiini cha Insha. Ni sehemu ambayo ina aya kadhaa, na kila aya hujitosheleza kwa kila kitu katika kulielezea jambo moja tu au hoja moja tu.
Wingi wa aya hutegemea wingi wa maudhui aliyonayo mwandishi wa kichwa cha Insha. Urefu wa aya hutegemea uwezo wa mwandishi wa kufafanua wazo linalozungumziwa. Kwa mfano, endapo ni Insha juu ya Maumbile ya Ng’ombe, aya moja inaweza kuwa juu ya kichwa cha ng’ombe. Ayah inaweza kuwa ndefu kuliko aya kuhusu shingo au mkia wa ng’ombe.
(iii) Hitimisho
Hitimisho ni aya ya mwisho ya Insha ambayo inaelezea muhtasari wa maudhui yote yaliyoelezwa katika Insha nzima.
(a) Endapo ni Insha ya Mjadala, mwandishi anatoa uamuzi wake baada ya kutoa maoni kuhusu pande zote mbili.
(b) Endapo ni Insha ya Methali, mwandishi anaweza kusisitiza maana na matumizi ya methali, huku akitoa methali nyingine zenye maana sawa au maana kinyume na maana ya methali ya Insha.
Jinsi ya Kuandika Insha
(a) Soma kwa makini mada/kichwa/anwani uliyopewa zaidi ya mara moja, ili uielewe vizuri.
(b) Ifikirie mada/kichwa/anwani kwa muda.
(c) Yaandike mambo muhimu yatakayokuongoza katika kuiandika nsha
(d) Yapitie mambo hayo muhimu ili uhakikishe kwamba yanaenda sawa na anwani: endapo kuna mambo ambayo hayafai, yaondoe; endapo kuna nyongeza, iandike.
(e) Andika methali, misemo na nahau ambazo unadhania zinaweza kukufaa katika uandishi wa Insha yako.
(f) Iandike Insha yako huku ikizingatia kwamba:
(i) Aya ya Kwanza = Mwanzo
(ii) Aya ya Pili = Kidokezo cha kwanza.
(iii) Aya ya Tatu = Kidokezo cha pili.
(iv) Aya ya nne = Kidokezo cha tatu. nk.
(iii) Aya ya Mwisho = Hitimisho.
(g) Isome Insha yako huku ukirekebisha makosa ya:
(i) Tahajia
(ii) Sarufi
Miundo Mbali Mbali ya Insha
(i) Kujibu Maswali ili Kuandika Insha
Katika muundo wa aina hii ya kuandika Insha, maswali yanayoulizwa lazima yatoemajibu ambayo yatasaidia kueleza habari kamili ya mtu, kitu, au jambo fulani. Kwa mfano:
(a) Shughuli za Mwanafunzi/Mtu kunzia asubuhi anapoamka hadi usiku anapokwenda kulala.
(b) Mifugo
(c) Mmomonyoko wa Udongo
(d) Nchi yetu, nk.
(ii) Kujaza Nafasi ili Kuandika Insha
Insha yote huwa imesha kuandikwa isipokuwa tu kwenye sentesi fulani fulani za aya kumeachwa nafasi ya kujaza neno, kirai au kishazi kizima ambacho mwanafunzi anatakiwa akijaze ili kuleta maana kamili inayokubalika katika mtirirko mzima wa insha yenyewe.
(a) Kukamilisha insha ambayo umepewa mwanzo wake
(b) Kukamilisha insha ambayo umepewa mwisho wake
(c) Insha za methali
Muundo wa Insha za aina hii ni kama ifuatavyo
(a) Andika maana ya nje na ya ndani inayohusu methali uliyopewa:
(b) Eleza mfano wa kisa (visa) vinavyothibitisha ukweli wa maelezo ya methali.
(vi) Insha za Kawaida
Zipo aina mbili za insha za kawaida:
(a) Insha-Hadharishi – ni zile ambazo inafaa mwandishi awe mwangalifu katika kueleza yanayohusu vitu au mambo anayoyaelezea kwa sababu hivi ni vitu au mambo ambayo maudhui yake yanajulikana kwa watu wengi. Kwa mantiki hiyo, insha hizi hazimpi mwandishi fursa ya kubuni maelezo yake binafsi.
(b) Insha-Huru – ni insha ambazo masharti yake ni kinyume na yale ya Insha- Hadharishi. Katika uandishi wa insha-huru, mwandishi ana fursa yote ya kujieleza apendavyo. Anaweza hata kuandika mambo ya kubuni (uwongo); lakini ingemfaa mwandishi, kama angechopeza chembechembe za ukweli katika maelezo yake yaliyokithiri urongo ili insha yake angalau iwavutie wasomaji wake walio wengi wenye kuishi katika imani inayotawaliwa na kweli.
(vii) Insha Zinazotokana na Picha
Katika insha za aina hii, mwandishi anapewa picha kadhaa zinaelezea kisa kwa ukamilifu wake. Kutokana na picha hizo, unatakiwa kuziandika sentesi kadhaa ambazo zitakuongoza katika kuikamilisha insha yako, kwa mfano:
Malengo ya Insha/Utungaji
Somo la Insha/utungaji linalenga kumpa mwanafunzi mazoezi ya kutunga habari yeye mwenyewe, na jinsi ya kuziwasilisha habari zake kwa watu wengine kwa njia ya mazungumzo au maandishi. Somo hili linashughulikia vipengee vitatu: mazungumzo, kuandika, kusoma, kufahamu na ufupisho (muhtasari).
Jinsi ya kuyaendesha ni ile ile katika vidato vyote, tofauti ni katika viwango vya mifano itakayochaguliwa kushughulikiwa.
(i) Mazungumzo
Shabaha ya somo hili ni kumfunza mwanafunzi kuzungumza na wenzake, aidha kuhutubia hadharani, kujadili hoja, nk. kwa lugha fasaha, bila woga, akaeleweka.
(a) Hotuba
Kuzungumza ni kipawa cha mtu kuweza kuwasiliana na wenzake. Kuna mazungumzo ya ishara, hasa baina ya watu bubu na mazungumzo ya mdomo. Hotuba ni mazungumzo yaliyotayarishwa kwa muda mrefu au mara ile ile ili kutolewa mbele ya watu. Hotuba safi haina budi kuwa na mambo yafuatayo:
· Ukweli wa habari na taarifa.
· Ufasaha wa lugha ipate kupendeza na kueleweka vizuri.
· Nidhamu, yaani adabu njema ya mzungumzaji mwenyewe asimamapo mbele za watu .
· Mantiki nzuri, yani mfuatano mzuri wa mawazo na fikra.
· Sauti ya kusikika wazi pamoja na ishara zinazoeleweka iwapo hotuba inatolewa mbele ya watu. Ishara siyo za lazima iwapo hotuba inatolewa kwa njia ya redio.
Hotuba zaweza kugawanywa kwa misingi mbalimbali. Baadhi ya misingi hiyo ni:
· Urefu wa Muda wa Matayarisho: Kulingana na uzito wa mada za hotuba zenyewe matayarisho huwa ni ya muda mrefu kwa mada nzito, lakini huwa ni ya muda mfupi kwa hotuba zenye mada nyepesi. Aghalabu, hotuba za dharura huwa na mada nyepesi nyepesi, yaani zinazotolewa papo kwa papo bila ya kupata muda mrefu wa kuziandaa.
· Aina za Hotuba: Ziko aina nyingi za hotuba. Baadhi yake ni:
(i) Hotuba na Mafundisho ya Kidini; aghalabu, hizi hutolewa miskikitini, makanisani, kwa njia ya redio; lakini pia popote penye mkusanyiko wa waumini husika.
(ii) Hotuba za Kisiasa na Kiserikali: Kwa mfano; matangazo ya taarifa za kiserikali na chama, fafanuzi za maazimio au sheria, n.k.
(iii) Mihadhara au Masomo ya Darasani: Hizi ni hotuba au mafundisho ya Mwalinu shuleni hasa anapofundisha kundi kubwa la wanafunzi, na hasa wanachuo wa vyuo vikuu.
· Nia ya mzungumzaji katika kuzitayarisha hotuba:
Mzungumzaji au mhutubiaji hujiwekea lengo la hotuba yake:
(i) Kuna hotuba za kuhimiza na kualika watu kutenda jambo fulani;
(ii) Kuna hotuba za kupasha habari ya furaha au ya simanzi;
(iii) Kuna hotuba za kushukuru, kukaribisha wageni, kupongeza na kutoa hongera, kumliwaza na kumfariji mwenye huzuni na masikitiko,
(iv) Aidha, kuna hotuba za kushutumu na kukaripia.
Subscribe to:
Posts (Atom)